Hii ni debatable kwa sababu karibu kila mtu huwa anajifanya ni mtaalamu kwenye hili suala.
Hoja za watu wengi zime-base kwenye myths. Inawezakana labda masturbation inaweza kupunguza nguvu za kiume kwa maana ya idadi ya mbegu za kiume na wingi wa shahawa.
Hata hivyo, mwanaume ana kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume na sidhani kama masturbation itasababisha kiwanda hicho kufa.
Kitaalamu, inadaiwa kuwa masturbation haina madhara. Inakuwa na madhara tuu pale inapokuwa ni addiction au inapoingiliana na maisha yako ya kila siku au kama inatumika kama mbadala wa kujahimiana.
Otherwise, masturbation haiathiri uwezo wa mwanaume kuzalisha mbegu za kiume. Kwa kawaida, mwanaume hawawezi kuishiwa na mbegu za kiume kwa sababu mbegu hizo huwa zinazalishwa 24 hours a day, 7 days a week.
Baada ya mwanaume kufika kileleni, itamchukua muda kabla ya kufika tena kileleni. Hii ni kawaida na haina maana kuwa kuna kitu chochote kibaya na mbegu zake za kiume.
Tafadhalali tofautisha hili na ubora/afya ya mbegu za kiume ambalo ni suala tofauti kabisa na halina uhusiano wa moja kwa moja na kupiga punyeto.
Hoja za watu wengi zime-base kwenye myths. Inawezakana labda masturbation inaweza kupunguza nguvu za kiume kwa maana ya idadi ya mbegu za kiume na wingi wa shahawa.
Hata hivyo, mwanaume ana kiwanda cha kutengeneza mbegu za kiume na sidhani kama masturbation itasababisha kiwanda hicho kufa.
Kitaalamu, inadaiwa kuwa masturbation haina madhara. Inakuwa na madhara tuu pale inapokuwa ni addiction au inapoingiliana na maisha yako ya kila siku au kama inatumika kama mbadala wa kujahimiana.
Otherwise, masturbation haiathiri uwezo wa mwanaume kuzalisha mbegu za kiume. Kwa kawaida, mwanaume hawawezi kuishiwa na mbegu za kiume kwa sababu mbegu hizo huwa zinazalishwa 24 hours a day, 7 days a week.
Baada ya mwanaume kufika kileleni, itamchukua muda kabla ya kufika tena kileleni. Hii ni kawaida na haina maana kuwa kuna kitu chochote kibaya na mbegu zake za kiume.
Tafadhalali tofautisha hili na ubora/afya ya mbegu za kiume ambalo ni suala tofauti kabisa na halina uhusiano wa moja kwa moja na kupiga punyeto.



Post a Comment