Mchuzi wa pweza inasadikika kuwa ni kiamsha nguvu (energizer )kinachopendwa sana na wanajamii,
Mchuzi wa pweza waweza kukusababishia magonjwa yatakayopelekea
kusababishia kifo kama vile kandida fangus na kifua kikuu njia za
kuambukiza,
Kibakuli cha kuwekea kachumbali na kibakuli cha kunywea mchuzi wa pweza
kinatumika na watu wengi tofauti huku kikisuuzwa juu juu na maji
yasiyochemshwa hivyo kupelekea kuendelea kuishi au kusambaa kwa vidudu
vya kifua kikuu kwenda kwa mtu mwingine
kibakuli cha kachumbali,
Hiki kinaweza kusababisha kifo kwa kukuletea kifua kikuu kwa sababu watu zaidi ya mmoja kwa kutumia stiki wanachovya kachumbali ikiwa na nyama ya pweza kisha kuiweka mdomoni kisha kukirudisha tena kijiti kile kwenye kibakuli na kukizamisha ndani kisha kukiweka tena mdomoni njia hii inaweza kusambaza vidudu vya kifua kikuu.
Hiki kinaweza kusababisha kifo kwa kukuletea kifua kikuu kwa sababu watu zaidi ya mmoja kwa kutumia stiki wanachovya kachumbali ikiwa na nyama ya pweza kisha kuiweka mdomoni kisha kukirudisha tena kijiti kile kwenye kibakuli na kukizamisha ndani kisha kukiweka tena mdomoni njia hii inaweza kusambaza vidudu vya kifua kikuu.



Post a Comment