Featured
Loading...

Mwalimu wangu wa kemia ananitaka kimapenzi ameniambia ___

Mwalimu wangu wa kemia anitaka kimapenzi ameniambia atanioa kama nakikubala. Nimemkatalia alitaka kunibaka ofisini. nikakimbia. Naogopa kumwambia mama mkali sana sina urafiki nae kabisa.
Mwalimu amenusingizia kosa nimepewa barua nimwite mzazi, mpka sasa sijampa mama najua nikimpa akienda shule itakua balaa mana na yeye atanekandia sana kwa walimu na wanafunzu wenzangu wakati mimi sina makosa. Nifanye nini?

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Live 360 Days | Designed By Code Nirvana
Back To Top