Tangu tumeanza Mahusiano mimi na mchumba wangu yapata miezi 3 sasa, Mwanzo penzi lilikuwa Tamu kwangu sasa chungu kama shubiri, Maana tabia ya mchumba wangu kila anaponiona Anahitaji Tufanye Tendo, Kila siku, Sasa nimechoka sana haka katabia maana sipati muda wa kupumzika
Naombeni Ushauri Nifanyaje ili anipatie muda wa kupumzika?



Post a Comment