Featured
Loading...

Jinsi ya Kudeal Na Mume Mwenye Michepuko Ukiondoa Option Ya Talaka. Siasa Za Ndoa Za Kisasa.


Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!




Mfanye kufollow ile account ya @ rajukaka17 mambo manono, mazitooo yajaaaa. Ofisi zitakuwaje tamu sasa. Fanyeni kufollow kwanza afu mambo mengine yafuate.


BACK TO TOPIC!!!!!!!!!


Ujue TIMES HAVE CHANGED AND THINGS HAVE FALLEN APART, MOST MARRIAGES ARE NO LONGER AT EASY! Ndoa ya kisasa ukitumia manual script au kanuni ya zamani ya 4, 4, 2 unajipotezaaaa, ukifata mawaidha ya mama yako alichomfanyia kikongwe baba yako ushafeli mtihani. Maisha yatakupeleka peleka mzobe mzobe. New begginings call for new techniques. Unaweza jikuta you is such a very very very good wife/ husband lakini unavoonewa au unanyanyasika mpaka unajihisi una mkosi haki ya nani si bure. Kuna chizi wangu alikuwa ananisimulia matatizo ya ndoa yake kwa uchungu mkubwaaa mnoooo, mpaka akawa amekata shauri akapige mbizi baharini maana kuoga tu maji ya bahari hakutoshi kuondoa nuksi zilizomkaba koo. Hahahahaaaaaaaaa! Msicheke mkidhani mazuri oooh! Shit happens to good people all the time, ndo maisha hayooo.


Mimi katika hio profession yangu isiyo rsmi ya kushauri wana ndoa, kuna mambo nimeyagundua. Ndo mshangae mi sijaolewa afu naombwa ushauri, well kwasababu mbinu zangu ni unordhox hilo moja,ziafanya kazi haraka na kwa ufanisi ili uzipate lazima uje kwangu, pili sababu sina lolote, mtu anakuwa confident anaona i will understand. Katika shauri shauri zangu japo nishapigwa total ban na paroko, kuna mke wa mtu nilikuwa namjaza upepo anamuweka mumewe kwenye kona kila dakikawacha mume aende kwa paroko adui wa ndoa yao Lara 1. Tobaaaaaa! Ilikuwa nuksi, nikaitwa na bimkubwa, tena nikasomwa kigangoni kwangu kanisani, nahitajika parokiani! Acha kabisaaaa! Noma sanaaaa Bi mkubwa aliongeaaaa. Aaaaaah! Ilakama sumu isivoonjwa nakomaa na hii kazi na nimeweza sumarize Siasa za kudeal na mume mchepukaji asikupe stress uenjoy ndoa yako hivo hivo. Nakubali wanaume wanatofautiana lakini ukichunguza sana hawatofautiani sanaaaa, kuwa generalise ni impssible lakini kuwa group rahisi. Ukijua group la mumeo rahisi kujua ucheze KARATA GANI, kumlambisha Jokeri na kuumaliza mchezo.


1. Follow the Money Card. Hii ni karata nzuri mnoo kwa wanaume wenye fixed income, kama waimu, polisi, na waajiriwa wengine ambao ni rahisi kujua mishahara yao, na bonuses, sijui vidubwana gani vina reflect kwenye salary slip. Ukiwa nwa mwanaume wa hivi USIDEAL NAE, JUST FOLLOW THE MONEY! Wanaumewengine wanakuwa baradhuli sababu visenti tu vinawawasha, wanaona if they can afford why not!? We deal na ule mshahara. Unaanzisha miproject yenye akili, maana ukija na business idea au plan za kingese mwanaume hakupi hela yake hata sh 10. All or most men are greedy of sucess. Japo wanapenda maku sanaa lakini wanapenda hela zaidi ziwape access ya maku kali zaidi. Sasa mke unakaa kati hapo kama business dvp maneger, unakuja tu na project kali zitakomfanya awe committed, hela yote akipata inaingia kwenye project, dada yangu mie Dr, mumewe Dr, kaja na project idea ya Health Center, wanakunguta mishahara yote hapo kwenye mradi wanaanza kupiga vizinga vya 20k, mama zimaaa. Haahaaaaaa! Mume saa 10 yuko ndani. Aende bar ana hela? Haloooooooooooo! Kwa design hio mchpuko labda apate jimama limfuge au ndo FREE Pumbu UNTD akubali kusuuza rungu bureeeee. Nahata hivokasiitapungua 95% na isitoshe kichwani anawaza vitu vya maana. Akipata jimama ndo safi mradi unaisha chap chap! Kantangazeee. Huna stress maana unjua umempukuta umemuachia kende zake tu, akahonge hizo kama zina soko!Hutosikia kazaa na mumeo kwa Free P, thubutuuuuuu! Hahahaaaaaaa! Haloooooooo! (Leo mtanichambaje sasa)


2. The Fools Card! Hii ni mujaraaaaab kwa wanaume wale very successful, very handsome, au sehemu yenye tought competition. Mfano kwa Kelvino wa Twisa before he was taken. Yaana sehemu akili, sijuiujasiri, ushapuavu, sijui taka taka gani hazifui dafu. Ukisusa tu wenzio wanakulaaaa. Ukiodoka hujafia standkahamia mwenzio. Ndoa kama hi mtihani mjue, ila ndoa ni ndoa hata ya mkeka! Hapo ndo unapocheza THE FOOLS CARD, unajifanya mjingaa bin zumbukuku. Manake wale ulio nao kwenye competition wote si wanataka unawe uwaachie we ndo ukaza unaendelea kula. Shoga uwena moyo mgumu kama shetaniiii, lasivo hii kazi itakushindaaa. Unataiwa uwe master of HYPOCRISY! Wakibana huku unatanua kule. Ukiingia ndani unakuta mume anambato demu, unaingia jikoni kupika, walaaaa huulizi. Uuulize nini sasa? Mume akirudikalewa, unamvua viatu unampandisha kitandani, asubuhi unatengeneza detox azimue kabla ya kwendakazini. Akichelewa unamjulia hali mzima baby, okay basi weukirudi mda wowote sio kupangiana niamshe nikuetengee msosi. Simu yake kama jela hugusiii, ujitie pressure ya nini? Yakazi gani. Jitu linakudanganya live live wewe unajifanya jinga jinga yaani zumbukuku. Atahangaika weee, mwishowe atarudi hapo hapo.Akufukuze kwa kosa gani kwa mfano? Akukimbie kwa lipi malaika wa watu? Mwishowe wewe ndo unakuwa mama Rajabian kwa Chief Being!


3. Do me, i do you card! Hii ndo ya sie komandoo vipensiiiiii! Cha kufa mapema kitu gani? Unakuwa kama namba 2, ila unenda mbele zaidi kwa kumiliki madanga yako 2 au 3 ya kukuliwaza na kukumilishia mambo yako mengine. Ndioooo. Kama ukimwi tumalzan tu sio uniletee ndani. Afu ukiwa na madhamb yako wala humind kabisaaa, na inakupa nguvu mpaya na mori mpya wa kuvumilia upuuzi wake. Mnakuwa mnachorana tu. Eeeeeehhhhh! Inaitwa mtulizeee kabla hajakutulizaaaaa. Who the gods seek to destroy will come crushing first. Unashangaa mke kakufumania anasema mimi bwana nipe ki BMW tu nakusamehe kiroho safi mzazi mwenzangu wewe. Anaona coz wote wazambi ila sababu fate imekuadhiri wewe, sio mbaya ukimpooza na BMW. Au umezaa nje mkeo anakomaa mlete mtotohumu ndani akae na wnezio, jua na wewe unakaa na watoto wa wenzio bila kujijua. Ndio. Watanzania wote ni ndugu


4. The smart a.ss card. Hapainabidi uwe smart kweli kweli. Anakoamkia kesho uwe wewe ulilala juzi.Kama ana mchepuko humuulizi, umapeleleza, una with hold evidence mpaka ziwe enough ku convict, na hapo bado kabiaa anaweza ku punch, unahakikisha unamleta muhusika kwenye crime scene, na zie evidence ulizo with hold ukimlipua hana pa uchomekea. Na hapo bado kabisaaaa. You crucify him, publicly humiliate him totally and completely in front of everyone and every body, strip him of everything, his personality, courage, dignity, image, everything! By the time umemalizana nae he is just an empty shell! The trick ukifanya hayaunaji VICTIMISE, haufanyi kama unamkomoa, walaaa, unafanya kama umepanic vile, tukio limekuchanganya kwelikweli unatapatapa. Yaaanimpaka ajikusanye kuchepuka tena sio leo. Akiona mchepuko mwili unakufa ganzi. Ukimfumania unajiliza kwa wazazi, wageni wanaokuja ndani kwenu, paroko, ndugu mpaka wa ulaya unawapigia simu, ofisini kwao, very single place mbayo ana ki dignity unaenda kuharibuuuuuu.. Au unamblast tu live kuwa wewe sio mjinga. Huendi extreme semaunawithhold evidence kwanza ajikanyagee then unampa live tu kuwa wewe sio mjinga picha zima liko hivo, amekusaliti na unajua unamchora tu.


5.Spiritual card. Hii ni kwa wale wanyonge, hawawezi kujitetea, maybe ndo ulimbembeleza mtu akuoe, utamleteaje u smart as.s? Kitu kidogo mi nilitaka kumuoa flani kumbuka lakini. Unanywea kama piriton. Hahahahaaaaaaa! Sikutangaziiii shoga yangu. Relaxxxxxxxxx! Yupo mtetezi wa wanyonge na wanao dhulumiwa nae si mwingine ali ni Mungu baba mwenyezi. Kuna mtuambae yeye ni mkubwa huyo dada, mumewe mdogo, lakini Mumewe anamuheshimu, anamjali, anamthamini utashangaa, afu dada mwenyewe wa wasiwasi ukiacha huo ubibi, mbele hachezi, nyuma hatikisiki mchaga mwenzangu, ana kasura tu kazuri. Ila mumewe hatikisiki. Tukamuuliza shoga umemlisha nyama ya Tigo nini, hahahaaaaaaaa? Akasema walaaaaaaaaaaaaa! Mwanaume usi reason nae, usimbembeleze wala usigombane nae MPIGIE GOTI TU. Atanyooka kama rula mpaka utashangaaa. Jaribuni mtaniambia! Mtafutie novena zake 3 tu zinamtosha, zikidunda sali, sali sali zaidi. Utafika tu realm ya kuongea na muumba. Mmmmmmh! Mi nikasema ngoja kwanza, kuna mtu nilimtibua si kidogo, kama kunyea kambi basi mie niliharishaaa kabisaa. Nikamkumbuka tu baada ya wanga na maish kunifindilila, sabau mie mvivu kanovena kamoja tu ka kulumangia. Tena kwa shaka shaka tu.Mbona alinitafutaaaa? Ooooooh! Chezea Mungu wewe? Shoga angu shidaayke ilikuwa kubwa alichoka kuwa na mume, huku anachuna kama mpagani asie na dini, akaomba yule bwana mwenyewe ajifikirie kumpa mtaji, sio wa china, wa Uturuki, na asimuingile kwnye hizo business, na akaweka nadhiri hatochuna tenaaaa ombi hilo likifanikiwa, mwezi wa kwanza holaaa, wa pili holaa, wa 3 nikamwambia shosti utabakiamifupa kufunga huko, fanya ule ombi lilishakataliwa hilo au mpaka Mungu aseme SITAKI kwa sauti ya radi ndo upate ujumbe? Hahahaaaaaaaaaa! Wenzio tumeomba vidogo tumepewa wewe ndounaomba jua na nyota! Loooh! Akakomaa miezi 6 anasugua goti, ikawasasa ni obsession. Oooooh! Tunavoongea yupo Uturuki mda huuu. Mtaji ulitoka, nawazo alitoa mwenyeweee mwanaume. Hapana chezea Alfa na Omega. Mambo ya Mungu yakikushinda fata katiba ya mabibi kitu cha limbwata.
Najua leo mtachamba sanaaaaa, mkumbuke kuchamba kwingi mwishoe mtatoka na mimavi bureee. Mkumbuke mimi ni zimwi liwajualo siwezi kuwala mkaishaaa. Nikiwa overdose leo, kesho na under dose

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Live 360 Days | Designed By Code Nirvana
Back To Top