Featured
Loading...

Hivi kuchelewa kufika kileleni kwa mwanaume kunaweza kuchangia kutopata mtoto. Majibu Haya Hapa

The most sexual problems in men are (1) premature ejaculation, (2) importance and (3) delayed ejaculation. Delayed ejaculation linaweza lisiwe tatizo baina ya wapendanao hadi pale wanapotaka mtoto.

Baadhi ya malalamiko ya wanawake: Anyone experience Delayed Ejaculation? | Mumsnet Discussion

Kuna aina mbili za delayed ejaculation: primary and secondary. Primary delayed ejaculation ni ile hali ya mwanaume kutowahi kabisa ku-ejaculate wakati wa kujahimiana.

Secondary delayed ejaculation ni ile hali ya mwanaume ku-ejaculate mara moja au zaidi katika kipindi fulani cha maisha yale lakini hawezi tena ku-ejaculate au huwa ana-ejaculate lakini kwa shida sana.

So, wawezakuta wakati mwanaume amebahatika ku-ejaculate, mwanamke hayupo kwenye zile siku za kupata ujauzito.

Ni jinsi gani kuchelewa kufika kileleni kunasababisha tatizo la kutopata mtoto inatagemeana na sababu za kuchelewa kufika.

Sababu zinaweza kuwa za kibaologia, kisaikolojia, kimahusiano na hata za kijamii.

Zinaweza kuwepo sababu za kisayansi, lakini pia hebu fikiria zaidi ya saa moja bado hajafika, huyo mwanamke si ataishia kusepa, let alone kuzaa nae?

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Live 360 Days | Designed By Code Nirvana
Back To Top